top of page

TMT- DAR ES SALAAM

Judge Monalisa

Judge Monalisa

Judge Roy

Judge Roy

Judge Richie

Judge Richie

Baada ya Kuzunguka kanda tano za Tanzania Sasa ni Zamu ya Kanda ya Pwani inayohusisha Mikoa ya Dar Es Salaam, Mkoa wa Pwani na Morogoro.

Shindano la Tanzania Movie Talents litaanza Rasmi Siku ya Ijumaa tarehe 30 Mei 2014 katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa Jijini DAr Es Salaam karibia na Chuo Cha IFM.Zoezi la Kuchukua Fomu litaanza kesho kuanzia saa mbili asubuhi katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa Jijini Dar.

Na Fomu zetu ni bure kabisa wala haziuzwi

As it happened:

30th May-friday

Audition Starts

TMT DAR ES SALAAM 

POSTPONED TO JUNE.

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUSITISHWA KWA SHINDANO LA TMT KWA KANDA YA PWANI KUTOKANA NA MSIBA ULIOMKUTA MMOJA WA MAJAJI WETU (TMT) NA SOTE KWA JUMLA.

16th June-Monday

Audition continues

18th June-wednesday

Audition still hot.

TMT DAR ES SALAAM 

ENDS.

MARA BAADA YA SHINDANO LA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) KUMALIZIKA KANDA YA PWANI, WATANZANIA SASA KUANZA KUWAPIGIA KURA WASHINDI

follow us:

© 2015 by Poseidon, all rights reserved.

  • Facebook Classic
  • Twitter Classic
  • c-youtube
bottom of page